Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam aongea kwa njia ya simu katika Mkutano Mkuu wa Tanzania Bloggers Network (TBN) na semina ya wanachama wa umoja wa waendeshaji wa blog nchini katika ukumbi wa Golden Jubilee jijini Dar es salaam Desemba 6, 2016
Home Archives for December 2016
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam aongea kwa njia ya simu katika Mkutano Mkuu wa Tanzania Bloggers Network (TBN) na semina ya wanachama wa umoja wa waendeshaji wa blog nchini katika ukumbi wa Golden Jubilee jijini Dar es salaam Desemba 6, 2016
Na Beatrice Lyimo, Maelezo


Na Ripota wa Mafoto Blog, Dar

Mwenyekiti wa muda wa mitandao ya Kijamii Tanzania Bloggers Network (TBN), Joachim Mushi (wa pili kulia) akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mkutano mkuu wa chama cha Bloggers Tanzania (TBN) utakaofanyika kwa siku mbili katika ukumbi wa PSPF jijini Dar es Salaam.Kulia ni Katibu wa TBN,Khadija Khalili na Mwisho kushoto ni Meneja wa Mitandao wa NMB,Joyce Nsekela.
Mtandao wa Wana Blogu wa Tanzania (TBN) ni jamii yenye nguvu ya waendesha blogu wa Kitanzania walio ndani ya nchi pamoja na walio katika Diaspora. TBN iliundwa rasmi Aprili 2, 2015, chini ya Sheria ya Tanzania ya Mashirika (CAP. 337 R.E. 2002) na kupata Cheti cha Usajili namba S.A. 20008 cha Tarehe 02 Aprili, 2015 kutoka kwa Msajili wa Taasisi zisizo za Kiserikali katika Wizara ya Mambo ya Ndani.
Dhamira ya TBN ni kuhakikisha kuwa wanachama wake wanafanya kazi kwa maono yanayolingana na malengo makuu ya mtandao huu. Lengo letu ni kukuza weledi na athari ya tasnia ya blogu ndani ya jamii yetu.
Lengo letu ni kuweka nyenzo muhimu ya kutumikia Tanzania na watu wake kwa weledi.
Lengo letu ni kuweka nyenzo muhimu ya kutumikia Tanzania na watu wake kwa weledi.